Uncategorized

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya vigogo Manchester United, Arsenal, Chelsea, Liverpool na Manchester City. Kwa sasa, Leicester...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...

NEWCASTLE KUMUUZA MSHAMBULIAJI WA BEI MBAYA

LONDON, UingerezaKLABU ya Newcastle United itampiga bei straika raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Yoane Wissa,...
spot_img

TANAPA ‘YATAFUNA’ BILIONI 1.95, CAG ATAKA ZIRUDISHWE

RIPOTA PANORAMA SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limetakiwa kurejesha Shilingi bilioni 1.95 ambazo ukaguzi wa matumizi yake haukuthibitika. Aliyependekeza fedha hizo zirejeshwe ni Mdhibiti na...

JINSI NDEGE YA TANZANIA ILIVYOKAMATWA CANADA

RIPOTA PANORAMA NDEGE ya Tanzania iliyokuwa ikitengenezwa nchini Canada, ilikamatwa kwa amri ya Mahakama Kuu ya Haki ya Ontario ya Canada baada ya kutoa hukumu...

SHAKAHOLA YA KASISI MACKENZIE NA MAZISHI YA HARUSI

JULIUS MUKAMBI Nairobi, Kenya KASISI Paul Mackenzie, kiongozi wa Kanisa la Good News International la Kenya, kwa miaka mingi aliongoza ibada za vifo za mamia ya...

WIZARA YA AFYA YATOA KAULI VIFO VYA WAJAWAZITO, WATOTO WACHANGA

RIPOTA PANORAMA. HATIMAYE Wizara ya Afya, imetoa kauli ikifafanua taarifa iliyomo kwenye ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu ongezeko la...

HABARI PICHA MATUKIO YA WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AKIWA BUNGENI JIJINI DODOMA

PICHA KUBWA Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole - Sendeka, bungeni jijini Dodoma, Aprili 11, 2023. (Picha na Ofisi ya...

RIPOTI MAALUMU (3)

JINSI SERIKALI ILIVYOPORWA MALI ZA UMMA SKANDALI ya kuporwa kwa mali za umma kisha kutumiwa kuchukua mkopo wa mabilioni ya fedha kwenye Benki ya NBC;...
spot_img