HII YA MESSI, RONALDO HAIJAISHA MPAKA IISHE

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza

UPINZANI wa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo unaendelea, licha ya kwamba nyota hao walishaondoka katika soka la Ulaya miaka kadhaa iliyopita.

Tangu mwaka 2026 uanze, Messi amekuwa wa moto Ligi Kuu ya Marekani (MLS) akiwa na Inter Miami, kama ilivyo kwa Ronaldo anayekipiga Al Nassr ya Saudi Arabia.

Kwa mwaka huu, mwanasoka huyo wa kimataifa wa Argentina amefunga mabao tisa katika mechi 11.

Katika mabao hayo, moja alifunga kwa mkwaju wa penalti na mawili kwa mipira ya faulo iliyotinga wavuni moja kwa moja.

Wakati huo huo, Ronaldo amecheza mechi 15 tangu mwaka huu uanze, akifunga mabao 12 (matatu ya penalti) na kutoa ‘asisti’ moja.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...

MATESO WANAYOPITIA WATOTO KATIKA MACHAFUKO YA SUDAN

DARFUR, Sudan "HALI ya watoto nchini Sudan inazidi kuwa mbaya kila baada ya saa moja." Hiyo ni kauli ya...

IRAN: TUKO TAYARI KWA VITA MAZUNGUMZO YAKISHINDIKANA

TEHRAN, IranSPIKA wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema nchi yake itakuwa tayari kwa mbinu mpya za...