ROMERO WA SPURS KUTIMKIA ATLETICO MADRID?

Date:

Share post:

MADRID, Hispania

KLABU ya Atletico Madrid ya La Liga inaiwania saini ya beki wa kati wa Tottenham na timu ya Taifa ya Argentina, Cristian Romero.

Nyota huyo alipata majeraha ya goti katika mechi iliyopita dhidi ya Sunderland, hivyo atamaliza msimu huu akiwa nje ya uwanja.

Romero mwenye umri wa miaka 27, amecheza mechi 23 za Ligi Kuu ya England (EPL) tangu msimu huu uanze.

Tottenham wako tayari kukaa mezani na klabu inayomtaka lakini kwa sharti la kulipwa kitita cha euro milioni 65.

Real Madrid nayo imekuwa ikihusishwa na mchezaji huyo mwenye mkataba utakaokwisha mwaka 2029.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...

MATESO WANAYOPITIA WATOTO KATIKA MACHAFUKO YA SUDAN

DARFUR, Sudan "HALI ya watoto nchini Sudan inazidi kuwa mbaya kila baada ya saa moja." Hiyo ni kauli ya...

IRAN: TUKO TAYARI KWA VITA MAZUNGUMZO YAKISHINDIKANA

TEHRAN, IranSPIKA wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema nchi yake itakuwa tayari kwa mbinu mpya za...