EVRA: ARSENAL? ITAISHIA KUUSIKIA UBINGWA EPL

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza
BEKI wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya Ufaransa, Patrice Evra, amesema Arsenal haina nafasi ya ubingwa msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).

Na badala yake, Evra ameipa nafasi hiyo Manchester City inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo, ikiwa imeachwa pointi tatu na Arsenal iliyoko kileleni.

Evra amedai kuwa kichapo cha mabao 2-1 walichokipata Arsenal kutoka kwa Man City wikiendi iyopita kimewatoa kwenye mbio za ubingwa.

Washika Bunduki wa Kaskazini mwa London wamebakiza mechi tano kumaliza msimu, wakati Man City wao wana sita.

“Ndiyo maana nasema siioni Arsenal (kwenye ubingwa). Siioni ikiwa na uwezo wa kuhimili presha iliyopo,” amesema.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...

MATESO WANAYOPITIA WATOTO KATIKA MACHAFUKO YA SUDAN

DARFUR, Sudan "HALI ya watoto nchini Sudan inazidi kuwa mbaya kila baada ya saa moja." Hiyo ni kauli ya...

IRAN: TUKO TAYARI KWA VITA MAZUNGUMZO YAKISHINDIKANA

TEHRAN, IranSPIKA wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema nchi yake itakuwa tayari kwa mbinu mpya za...