MBAPPE, KANE MOTO UNAWAKA KIATU CHA UFUNGAJI BORA ULAYA 2025-26

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza

LICHA ya Real Madrid kusukumwa nje ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mshambuliaji wake raia wa Ufaransa, Kylia Mbappe, ndiye anayeongozwa kwa kupachika mabao msimu huu wa michuano hiyo.

Mbappe anaongoza akiwa ameshazifumania nyavu mara 15, akimzidi matatu tu straika wa Bayern Munich raia wa England, Harry Kane.

Tofauti na Mbappe, Kane bado anaendelea na mashindano na timu yake itaivaa PSG katika hatua inayofuata ya nusu fainali.

Anayeshika nafasi ya tatu kwenye orodha ya wafungaji ni mshambuliaji wa Newcastle United, Anthony Gordon, mwenye mabao 10.

Nyuma yake, anafukuziwa na wakali watatu; Julian Alvarez (9), Erling Haaland na Khvicha Kvaratskhelia (8).

Imeandaliwa na Hasaan Mwasha

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

UCHUMI WA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

BEIJING, China LICHA ya vita vya Marekani na Iran kuonekana kuitikisa dunia, China imeendelea kupiga hatua kubwa katika eneo...

SIKU 100 ZA RAIS MPYA WA VENEZUELA: MABADILIKO NA MASWALI MAPYA

CARACAS, Venezuela BAADA ya vikosi vya Marekani kumng’oa madarakani aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro kwenye oparesheni ya Januari...

MAELFU YA FAMILIA SUDAN BADO WAKIMBIA VITA, HALI YA MAISHA YAZIDI KUWA MBAYA

MAELFU ya familia nchini Sudan bado wanalazimika kuyakimbia makazi yao, miji na hata mipaka ya nchi kufuatia vita...

ISRAEL YAENDELEA NA OPERESHEN DHIDI YA HEZBOLLAH NCHINI LEBANON

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Jeshi la nchi yake linaendelea na operesheni dhidi ya wanamgambo wanaoungwa...