![]() |
||||
Msafara wenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukitoka Uwanja wa Ndege wa Mwanza kuelekea Uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya wananchi wa Mwanza kutoa heshima zao mwisho |
![]() |
Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wakipunga mkono wa buruani wakati msafara wenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukipitishwa kwa ajili ya kuagwa |
![]() |
Umati mkubwa wa wananchi wa Mkoa wa Mwanza ukipunga mkono wa buruani kwenye msafara wenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk John Magufuli |
![]() |
Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wakitandaza matawi ya miti, khanga na vitenge barabarani, ishara ya kumuaga kwa heshima Hayati Rais Dk. John Magufuli |