MWANZA WATOA MKONO WA BURIANI KWA HAYATI RAIS DK JOHN MAGUFULI

Date:

Share post:

 

Msafara wenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukitoka Uwanja wa Ndege wa Mwanza kuelekea Uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya wananchi wa Mwanza kutoa heshima zao mwisho    

Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wakipunga mkono wa buruani wakati msafara wenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukipitishwa kwa ajili ya kuagwa

Umati mkubwa wa wananchi wa Mkoa wa Mwanza ukipunga mkono wa buruani kwenye msafara wenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk John Magufuli

Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wakitandaza matawi ya miti, khanga na vitenge barabarani, ishara ya kumuaga kwa heshima Hayati Rais Dk. John Magufuli

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...