MACHI 3, 2018
![]() |
MWENYEKITI WA Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Manyara, Saimon Lulu (aliyevaa suti ya rangi ya kijivu) akijiandaa kumkabidhi kadi ya chama hicho aliyekuwa Diwani wa Kata ya Gehandu katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, Mathayo Samhenda baada ya kujivunia uanachama wa ACT-Wazalendo, jana.
![]() |
Mathayo Samhenda akionyesha kadi ya CCM aliyokabidhiwa na mwenyekiti wa chama hicho mkoa, Saimon Lulu, jana.
![]() |
Mbunge wa Hanang, Mary Nagu wa kwanza kushoto na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Manyara Saimon Lulu wakimshangilia Mathayo Samhenda baada ya kukabidhiwa kadi ya CCM, jana.










