ZITTO AZIDI KUACHWA

Date:

Share post:

MACHI 3, 2018
ZITTO AZIDI KUACHWA
Zitto Kabwe
DAR ES SALAAM
Taarifa zilizotufikia kutoka Kata ya Gehandu, Wilaya ya Hanang mkoani Manyara zinaeleza kuwa Diwani ya Chama cha ACT-Wazalendo wa kata hiyo, Mathayo Samhenda, amejiuzulu udiwani na kujivua uanachama wa chama chake muda mfupi uliopita.
Zimeeleza kuwa diwani huyo baada ya kujiuzulu na kujivua uanachama wa ACT- Wazalendo ametangaza kujiunga na CCM.
Taarifa kutoka Hanang zimeeleza kuwa kujiuzulu kwa diwani huyo kumekuja ikiwa ni siku chache baada ya kumkabili ana kwa ana Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe na kumweleza kutoridhika na mwenendo wa mambo ndani hicho hivyo anakusudia kukipa kisogo.
Zitto alikabiliwa na diwani huyo Februari 27, mwaka huu kwenye kikao cha ndani kilichofanyika wilayani Hanang inakodaiwa kuwa Zitto alimfukuza Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo wa Mkoa wa Manyara.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...