GODBLESS LEMA, MALISA WANAPOMZABUA BASHE

Date:

Share post:


MACHI 6, 2018

Haya ni maoni ya Malisa GJ na Godbless Lema kuhusu barua ya Hussein Bashe kwenda kwa Katibu wa Bunge akitaka iundwe kamati teule ya kibunge kuchunguza matukio yanayohatarisha usalama wa Watanzania.  
Malisa

Anaandika MALISA GJ
November 2017
BASHE:
Chadema wakiwachokoza wapigeni bila huruma. Wapigeni sana maana Jeshi la Polisi na vyombo vya dola vipo chini yetu.
February 2018
Agizo likatekelezwa. Watu wakapigwa bila huruma. Raia wakapigwa risasi, wakauawa, wakajeruhiwa, wakatekwa, wakapotezwa.
March2018
BASHE:
Nimepeleka hoja bungeni ili kamati teule ya bunge ichunguze chanzo cha watu kupigwa bila huruma, kuuawa, kutekwa na kupotezwa.
MyTake:
UNAFIKI WA KISOMALI NI MBAYA KULIKO UCHAWI WA KIFIPA.!



Lema
LEMA
Unafiki. Tunahitaji kamati teule kujua mikutano ya siasa imezuiwa? Au watu wanatekwa na kuuawa na kwamba uhuru wa demokrasia na Bunge umekufa?
Acha uoga kemea Serikali ya chama chako, halafu hiyo kamati teule ipeleke taarifa Bunge gani? Nzega kuna nini maana Kigwangala naye kama wewe.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

EMERY APANGA KUIBOMOA BARCELONA

LONDON, Uingereza KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery, anaitaka saini ya beki wa Barcelona, Alejandro Balde, na amewaambia mabosi...

BAYERN YAMKODOLEA MACHO KIUNGO WA TOTTENHAM

LONDON, Uingereza BAYERN Munich inampigia hesabu za karibu kiungo wa Tottenham na timu ya Taifa ya Senegal, Pape Matar...

RIPOTI: IDADI YA WAHAMIAJI ULAYA IMEVUNJA REKODI, UJERUMANI INAONGOZA

LONDON, UingerezaRIPOTI mpya imeonesha kuwa Ulaya nchi za Ulaya zlipokea wahamiaji milioni 64 mwaka 2025, likiwa ni ongezeko...

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...