RAIS WA TFF KUMMALIZA WAMBURA LEO?

Date:

Share post:



Karia
DAR ES SALAAM

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wallace Karia ameitisha mkutano na wahariri wa habari za michezo, leo.Mkutano huo unatarajiwa kufanyika katika Hotel ya Sea Scape, iliyopo Dar es Salaam saa 4.00 asubuhi.
Inatarajiwa kuwa, Rais Karia atautumia mkutano huo kutoa ufafanuzi wa tuhuma ambazo Makamu wa Rais wa TFF, Michael Wambura amezielekeza kwa taasisi anayoiongoza.
Aidha, haina shaka kuwa Rais Karia atautumia mkutano huo kuzungumzia kwa kina uamuzi wa kumfungia milele, Wambura kutojihusisha na shughuli za michezo. 

Previous article
Next article

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

EMERY APANGA KUIBOMOA BARCELONA

LONDON, Uingereza KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery, anaitaka saini ya beki wa Barcelona, Alejandro Balde, na amewaambia mabosi...

BAYERN YAMKODOLEA MACHO KIUNGO WA TOTTENHAM

LONDON, Uingereza BAYERN Munich inampigia hesabu za karibu kiungo wa Tottenham na timu ya Taifa ya Senegal, Pape Matar...

RIPOTI: IDADI YA WAHAMIAJI ULAYA IMEVUNJA REKODI, UJERUMANI INAONGOZA

LONDON, UingerezaRIPOTI mpya imeonesha kuwa Ulaya nchi za Ulaya zlipokea wahamiaji milioni 64 mwaka 2025, likiwa ni ongezeko...

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...