Makala Kimataifa

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

MAREKANI V IRAN: NINI HATIMA BAADA YA KUKOSEKANA SULUHU?

PANDE zote mbili zinatupiana lawama, kila moja ikiitaja nyingine kukwamisha upatikanaji wa suluhu katika mazungumzo ya amani yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan. Wawakilishi wa Marekani na...

NINI CHANZO ‘UADUI’ WA AFRIKA KUSINI, MAREKANI?

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, alitoa kauli tata aliposema kwa sasa dunia inaendeshwa kidikteta. Kwa wafuatiliaji wa siasa za kimataifa,...

KINACHOENDELEA MKUTANO WA AMANI KATI YA MAREKANI, IRAN

ISLAMABAD, Pakistan PAKISTAN ndiyo mwenyeji wa mazungumzo ya kutafuta suluhu katika mgogoro unaoendelea kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel. Mazungumzo hayo yaliyotanguliwa na makubaliano...

UKIMWI UNAVYOIGHARIMU ZAMBIA KWA MAREKANI

LUSAKA, Zambia WIZARA ya Afya ya Zambia imekuwa ikinufaika na misaada ya afya kutoka Marekani lakini wakosoaji wanasema kuna siri nzito inayoendelea nyuma ya pazia. Marekani...

SHAKAHOLA YA KASISI MACKENZIE NA MAZISHI YA HARUSI

JULIUS MUKAMBI Nairobi, Kenya KASISI Paul Mackenzie, kiongozi wa Kanisa la Good News International la Kenya, kwa miaka mingi aliongoza ibada za vifo za mamia ya...

PAUL MAKENZIE: DEREVA TEKSI, MUHUBIRI ALIYETUMIA JINA LA YESU KUUA WATU ZAIDI YA 100

Makala Maalumu PAUL Makenzie, mtu aliyejitambulisha kama muhubiri wa neno la Mungu nchini Kenya kabla ya kuangamiza maisha ya watu zaidi ya 100 kwa kuwahadaa...
spot_img