ISTANBUL, Uturuki
RAIS wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amesema vita kati ya Iran na Marekani vimeanza kulidhohofisha Bara la Ulaya.
Tayyip Erdogan ameyasema hayo katika mazungumzo yake kwa njia ya simu...
CARACAS, Venezuela
BAADA ya vikosi vya Marekani kumng’oa madarakani aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro kwenye oparesheni ya Januari 3, 2026, aliyekuwa Makamu wake, Delcy...
HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore nchini Burkina Faso.
Traore aliyeingia madarakani kwa...
WAUMINI wa dini mbili kubwa nchini, Uislam na Ukristo, wanaweza kukubaliana kwa urahisi kwamba manabii (mitume) walitumwa katika jamii zilizokuwa zimezama kwenye maovu na...
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amekemea uzushi unaoenezwa na baadhi ya watu wenye nia ya kupotosha jamii...