MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
RIPOTA PANORAMA
UWANJA wa mchezo wa gofu ambao ni bora zaidi duniani umeanza kujengwa katika eneo la Fortikoma, lililopo nje kidogo ya Hifadhi ya Serengeti.
Mradi...
GEMBAGU NJAMITI, Serengeti
NIMEKUTANA na kufanya mahojiano ya ana kwa ana na Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), Mhandisi Mshauri,...
RIPOTA PANORAMA
SERIKALI imependekeza marekebisho ya ada na tozo mbalimbali katika sekta ya utalii ili kuwapunguzia gharama watalii wanaotembelea vivutio vilivyopo nchini.
Tofauti na tetesi na...
RIPOTA PANORAMA
KAMPUNI ya M/S Grumeti Reserve Ltd imeitia hasara Serikali ya jumla ya Shilingi milioni 241.23.
Hasara hiyo kwa Serikali imesababishwa na uamuzi wa Mamlaka...
RIPOTA PANORAMA
BAADHI ya maeneo yaliyo chini ya Mamlaka ya Uhifadhi wa Eneo la Ngorongoro yemewekewa mahema yanayotoa huduma ya kuhifadhi watalii kwa muda mrefu...