Makala Kitaifa

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump. Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...

LINDI YAIMARISHA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA WASH KUBORESHA AFYA ZA WANANCHI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema mkoa huo unaendelea kunufaika na utekelezaji wa afua...

WAZIRI MKUU AWASILI ARUSHA KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewasili mkoani Arusha kwa ziara...

BARAZA LA MADIWANI MTAMA LAKUTANA, LAPONGEZA MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama limefanya kikao chake cha robo ya tatu kwa mwaka...

VIONGOZI LONGIDO WATAKIWA KUHARAKISHA UANZISHAJI WA JUHIZINA

Viongozi wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido wametakiwa kuongeza kasi ya utekelezaji wa mchakato wa kuanzisha...
spot_img

ELIMU YA MALEZI DHIDI YA UKATILI WA WATOTO YATOLEWA KIBAHA

MKAGUZI wa Polisi wa Kata ya Picha ya Ndege, Halmashauri ya Mji Kibaha mkoani Pwani, Ibrahim Makaruti, ametoa elimu kwa wazazi kuhusu umuhimu wa...

SERIKALI YASISITIZA DHAMIRA YAKE KUIMARISHA SEKTA YA FEDHA NCHINI

Serikali imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha sekta ya fedha nchini ili iwe chachu ya maendeleo ya haraka ya kiuchumi, huku ikisisitiza upatikanaji wa...

WATATU WA FAMILIA MOJA WAFARIKI KWA MOTO KATAVI

RIPOTA PANORAMA KAMANDA wa Polisi, Mkoa wa Katavi, SACP Kaster Ngonyani amethibitisha vifo vya watu watatu wa familia moja na wengine watatu kujeruhiwa kwa ajali...

VITA YA UTAPIAMLO IRINGA, NJOMBE IWE ENDELEVU

MWANDISHI MAALUMU KARIKA historia ya maendeleo ya binadamu, afya na lishe zimekuwa nguzo kuu za ustawi wa jamii na taifa. Hali ya mtoto anapokua siyo...

UWEKEZAJI TEHAMA SEKTA YA AFYA KUSAIDIA VITA YA UTAPIAMLO NA UDUMAVU IRINGA, NJOMBE

MWANDISHI MAALUMU KATIKA bajeti ya mwaka 2025/26, Serikali imetambulisha mpango wa kuimarisha mfumo wa afya unaolenga huduma bora za afya na lishe. Bajeti hiyo...

MAWIO YACHOMOZA BANDARI YA TANGA

MAKALA YA MTANGAZAJI NIMEKUTANA na kufanya mahojiano ya ana kwa ana na Meneja wa Bandari ya Tanga, Masoud Athuman Mrisha kuhusu mwenendo wa shughuli za...
spot_img