Habari Kitaifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

KAMATI YA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO MTAMA

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Mtama, Aprili 11, 2026, imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa...

TUME YA JAJI CHANDE YATETA NA DKT. CHAKWERA

MWAKILISHI wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola na Rais Mstaafu wa Malawi, Dk.Lazarus Chakwera, amekutana na kufanya mazungumzo na Tume ya Rais ya Kuchunguza...

MAKONDA ATETA NA  MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ARUSHA

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, amefanya kikao kazi na Maafisa Maendeleo wa...

DC KARANGA AKAGUA BARABARA ENDALA, KARATU

MKUU wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha , Lameck Karanga, Aprili 10, 2026 amefanya ziara ya kukagua miundombinu ya barabara katika kijiji cha Endala,...

SAMIA ATANGAZA CHUO CHA KIDIJITALI, KUWEZESHA ‘STARTUPS’ ZA VIJANA

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itajenga chuo mahiri cha kidijitali pamoja na kutenga fedha maalumu zitakazowezesha Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano...

SERIKALI KUENDELEA NA MPANGO WA CHANJO YA HOMA YA INI KWA WATANZANIA

WIZARA ya Afya, imesema inaendelea na maandalizi ya kuweka utaratibu wa kutoa chanjo ya homa ya ini kwa Watanzania wote, ikiwa ni sehemu ya...
spot_img