MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
MWENGE wa Uhuru umepokelewa jijini Dar es Salaam Aprili 13, 2026 na kuanza mbio zake katika Wilaya ya Ilala, ukitarajiwa kupita katika maeneo mbalimbali...
AJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, Frank Habibu Mahimbali, amezindua majengo matatu ya Mahakama za Mwanzo na kurasimisha kuanza kwa...
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kuwaokoa watu nane waliokuwa wamezingirwa na maji kufuatia mvua kubwa zilizosababisha mafuriko.
Tukio...
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wataalamu wa fani ya ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi nchini kuhakikisha wanatumia uwezo wao wa kitaaluma kuibua bunifu...