Habari Kitaifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

MWENGE WA UHURU KUZINDUA MIRADI SABA YA BILIONI 51.825 ILALA

MWENGE wa Uhuru umepokelewa jijini Dar es Salaam Aprili 13, 2026 na kuanza mbio zake katika Wilaya ya Ilala, ukitarajiwa kupita katika maeneo mbalimbali...

PWANI WAANZA KUKAGUA MIRADI YA MWENGE WA UHURU 2026

Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Pwani imeanza rasmi ukaguzi wa miradi inayotarajiwa kuzinduliwa na kutembelewa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2026, ikiwa ni...

MAHAKAMA TATU ZA MWANZO ZAZINDULIWA JIJINI ARUSHA

AJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, Frank Habibu Mahimbali, amezindua majengo matatu ya Mahakama za Mwanzo na kurasimisha kuanza kwa...

MAKATIBU WAKUU WAKUTANA KUHUSU UTEKELEZAJI WA AGIZO LA WAZIRI MKUU

Makatibu wakuu wa  Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)   Wizara za Fedha, Afya na...

NANE WAOKOLEWA NA JESHI LA ZIMAMOTO KWENYE MAFURIKO KILIMANJARO

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kuwaokoa watu nane waliokuwa wamezingirwa na maji kufuatia mvua kubwa zilizosababisha mafuriko. Tukio...

WATAALAMU WA UJENZI NCHINI WASHAURIWA KUBUNI MIRADI KWA GHARAMA NAFUU

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wataalamu wa fani ya ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi nchini kuhakikisha wanatumia uwezo wao wa kitaaluma kuibua bunifu...
spot_img