HABARI

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

RAIS MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa Mji wa AFCON Fumba...

TRUMP AFUTA PICHA YAKE AKIJIFANANISHA NA YESU AKIDAI IMETAFSIRIWA VIBAYA

Washington, Marekani Rais wa zamani wa Marekani, Donald J. Trump, ametoa ufafanuzi kufuatia picha aliyochapisha katika mtandao wake wa TRUTH, ambayo imezua mjadala mkubwa miongoni...

MIRADI 600 YASAJILIWA NDANI YA MIAKA MITANO -ZANZIBAR

Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imepokea ujumbe wa maafisa kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) ukiongozwa na Balozi Mkazi, Shigeki...

WATEKAJI WATAKA MIL. 57/- KUMWACHIA MWANAFUNZI

LAGOS, Nigeria VIDEO iliyosambaa katika mitandao ya kijamii imemuonesha kijana aliyetajwa kuwa ni mwanafunzi akiomba kuokolewa, huku watekaji wakishinikiza walipwe kwanza Naira milioni 30 (zaidi...

WAZIRI WA FEDHA AKWAA URAIS BENIN

PORTO-NOVO, Benin NI rasmi sasa aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Benin, Romuald Wadagni, ndiye Rais mpya wa Taifa hilo baada ya ushindi wa asilimia 94...

RAIS TRUMP AMVAA PAPA, AMTAKA AACHE SIASA

WASHINGTON DC, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, ameibuka na kauli kali dhidi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, baada ya Papa...
spot_img