URUSI WAANDIKA HISTORIA KWA HARUSI YA ROBOTI
Urusi imevuta hisia za dunia baada ya kuandaa sherehe ya mfano ya harusi kati ya roboti wawili wenye umbo la binadamu (humanoid robots), tukio lililofanyika jijini Moscow katika…
Mkusanyiko wa habari
Urusi imevuta hisia za dunia baada ya kuandaa sherehe ya mfano ya harusi kati ya roboti wawili wenye umbo la binadamu (humanoid robots), tukio lililofanyika jijini Moscow katika…
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini, imefanikiwa kufanya upasuaji mkubwa wa kurekebisha sura kwa wagonjwa sita.…
Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika kukabiliana na dharura za afya ya umma, ikiwemo mlipuko wa…
Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku kucha, likilenga maeneo muhimu ndani ya Urusi, yakiwemo mji wa…
Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa Julai 3, 2026 na kuharibu maduka kadhaa ya vipodozi. Wengi…
Umoja wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa utafunga rasmi Ofisi yake ya Haki za Binadamu nchini Burkina Faso baada ya utawala wa kijeshi kusimamisha kwa muda usiojulikana shughuli za…
Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kusambaa kusini mwa France umesababisha takriban watu 3,000 kuhama kutoka makazi yao, huku mamlaka zikionya kuhusu kuanza mapema kwa msimu wa moto kutokana…
Meya wa mji wa San Pedro Huamelula, ulioko jimbo la Oaxaca nchini Mexico, amefunga ndoa ya kimila na mamba jike aina ya caiman katika sherehe ya jadi inayofanyika…
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amewasili mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kwa ziara fupi ya kikazi inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika maandalizi, kinga…
Mahakama nchini Kenya imewafikisha mahakamani wanafunzi wanane wa kike kwa tuhuma za kuhusika na moto ulioteketeza bweni la shule na kusababisha vifo vya wanafunzi wenzao 16 katika Shule…