Uncategorized

JELA MIAKA 30 KWA KUPATIKANA NA BANGI

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imemhukumu Brown Frank Mwaitubi (31), mkazi wa Kajunjumele, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwa na dawa...

DUTERTE KUPANDISHWA KIZIMBANI ICC

MANILA, Ufilipino JOPO la majaji watatu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) limethibitisha kuwa Rais wa zamani wa...

WRIGHT: RICE APEWE BALLON D’OR

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Ian Wright, amemtaja Declan Rice kuwa anastahili kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka...

ISRAEL, LEBANON ZAONGEZA WIKI TATU ZA KUSITISHA VITA

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Israel na Lebanon zimekubaliana kuongeza wiki tatu za kusitisha mapigano. Wakati...

RAIS RAMAPHOSA ‘AMTUMBUA’ MKUU WA POLISI

PRETORIA, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametengua uteuzi wa Mkuu wa Polisi nchini humo, Jenerali Fannie...
spot_img

RAVJI CONSTRUCTION YAMLILIA JPM

 Rais Dk. John MagufuliNA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya Ravji Construction ya mkoani Kilimanjaro imemuomba Rais Dk. John Magufuli kuingilia uchunguzi wa malalamiko ya kugushi...

DUKA LINALOENDESHWA KIMAAJABU MWEMBECHAI

 Gari hili linapakiwa shehena ya bidhaa kutoka ndani ya stoo ya duka la SK STORENA MWANDISHI WETU DUKA moja la kuuza bidhaa za jumla...

‘SARAKASI’ ZA TFC KASHFA YA MIKATABA YA MBOLEA

 Shehena ya mboleaNA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya Mbolea Tanzania (TFC) sasa inacheza mchezo wa sarakasi ikionyesha umahiri wake wa kukwepa au kuvuta muda wa...

MNYUKANO WA HOJA ZA WAZUNGU DHIDI YA WATAALAMU BINGWA WA TANZANIA

  RIPOTI MAALUMU (5) Hii ni sehemu ya tano ya ripoti maalumu ya utafiti wa kitalaamu kuhusu hofu, majibu ya hofu, athari za mazingira,...

SIRI ZA KIGOGO MSTAAFU TPDC ZAANZA KUANIKWA

NA MWANDISHI WETU TUHUMA mpya za ufisadi zimeanza kuibuliwa katika Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), safari hii zikielekezwa kwa kigogo mmoja mstaafu...

MAJIBU YA MASWALI YALIYOLETWA NA WWF NA UNESCO

 RIPOTI MAALUMU (4) Hii ni sehemu ya nne ya ripoti maalumu ya utafiti wa kitalaamu kuhusu hofu, majibu ya hofu, athari za mazingira, mipango...
spot_img