Uncategorized

EMERY APANGA KUIBOMOA BARCELONA

LONDON, Uingereza KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery, anaitaka saini ya beki wa Barcelona, Alejandro Balde, na amewaambia mabosi wake waandae kitita cha Pauni milioni 43. Beki huyo wa kushoto amewahi...

BAYERN YAMKODOLEA MACHO KIUNGO WA TOTTENHAM

LONDON, Uingereza BAYERN Munich inampigia hesabu za karibu kiungo wa Tottenham na timu ya Taifa ya Senegal, Pape Matar...

RIPOTI: IDADI YA WAHAMIAJI ULAYA IMEVUNJA REKODI, UJERUMANI INAONGOZA

LONDON, UingerezaRIPOTI mpya imeonesha kuwa Ulaya nchi za Ulaya zlipokea wahamiaji milioni 64 mwaka 2025, likiwa ni ongezeko...

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...
spot_img

RAIS SAMIA AKANYAGA NYAYO ZA HAYATI DK. MAGUFULI

 Rais Samia Suluhu HassanNA CHARLES MULLINDA KAZI ya kujenga uchumi na kupambana na umaskini inaendelea chini ya Serikali ya Awamu ya Sita ambayo kabla...

MSIGWA NA SHUKRANI, HUZUNI NA AHADI KIBARUANI IKULU

 Gerson MsigwaNA CHARLES MULLINDA MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa imani kubwa aliyoionyesha kwake kwa kumteua katika wadhfa...

KAMPUNI YA PARAMOUNT YAHAHA KUFICHA UKWELI WA TUHUMA ZAKE

 NA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya Paramount Commodities Limited ya mkoani Dar es Salaam inayojihusisha na biashara ya mazao mbalimbali, sasa imeanza kuhaha kuficha ukweli...

HATUTARUHUSU MTENDAJI ABAKI NA FEDHA AKISUBIRI MUDA WA NYONGEZA – WAZIRI MKUU

 Waziri Mkuu, Kassim MajaliwaWAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali haitaruhusu mtendaji wake abaki na fedha kwa uzembe halafu ategemee kupewa muda wa nyongeza baada...

WAZIRI MKUU MAJALIWA-HAKUNA MAKINIKIA YANAYOUZWA BILA KULIPIWA

 Waziri Mkuu, Kassim MajaliwaNA IRENE BWIREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema makinikia yote yanayosafirishwa yamefuata taratibu na hakuna makinikia yanayouzwa bila kulipiwa kwanza. “Makontena yote...

MAZINGAOMBWE YA KAMPUNI YA PARAMOUNT

 UfutaNA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya Paramount Limited ya mkoani Dar es Salaam inayojihusisha na biashara ya mazao mbalimbali inadaiwa kuendesha shughuli zake kinyemela ndani...
spot_img