Friday, 21 August 2026

Mkusanyiko wa habari

Uncategorized

NANI KOCHA MPYA WA MADRID MSIMU UJAO?

MADRID, Hispania ALVARO Arbeloa analiongoza benchi la ufundi la Real Madrid hadi mwishoni mwa msimu huu, kisha atakabidhi mikoba kwa kocha mpya.  Arbeloa aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi…

WAARABU WAMGOMBEA MO SALAH

KLABU tajiri za Ligi Kuu ya Saudi Arabia zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya mshambuliaji anayejiandaa kuondoka Liverpool, Mohamed Salah. Mtandao wa TEAMTalk umeripoti kuwa tayari bado ya mabosi…

TUME YAKUTANA NA MMILIKI MABASI YA ESTHER

DAR ES SALAAM TUME ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, Februari 28 imekutana na mmiliki wa mabasi…

DRC YASHANGAZWA NA UBORA WA MATIBABU MUHIMBILI

DAR ES SALAAM GAVANA wa Jimbo la Maniema, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Moise Kabwankubi ameongoza ujumbe wa nchi hiyo kuzuru Hospitali ya Taifa Muhimbili na taasisi…

KOCHA ALIYEKUFUZWA YANGA, AOMBA KURUDI

KOCHA mkuu wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet, ni miongoni mwa makocha watano walioomba kibarua cha kuifundisha timu hiyo, kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu…

BEKI ALIYEWINDWA SIMBA KUTUA AZAM

KLABU ya Azam inatarajia kukamilisha usajili wa beki wa kati wa timu ya Coastal Union, Lameck Lawi, kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara na…

YANGA YATAJWA KUSAJILI WAKALI WATANO

Beki wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Bakari Malima, ‘Jembe Ulaya’, amesema klabu yake inatakiwa kusajili wachezaji wapya watano kwa ajili ya msimu ijayo wa Ligi Kuu…