KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI AFANYA ZIARA MKOANI RUKWA

Date:

Share post:

Kamishna wa Polisi Jamii nchini (CP) Alex Mkama, Aprili 13, 2026 amewasili mkoani Rukwa kwa ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Shadrack Masija, akishirikiana na maafisa wengine wa Jeshi la Polisi mkoani humo.

Mara baada ya kuwasili, Kamishna Mkama alipatiwa taarifa ya hali ya usalama na ulinzi wa Mkoa wa Rukwa, iliyowasilishwa na kamanda wa Polisi wa Mkoa huo. Taarifa hiyo ilibainisha mwenendo wa matukio ya uhalifu pamoja na hatua zinazochukuliwa katika kuimarisha usalama wa wananchi na mali zao.

Aidha, Kamishna Mkama amefanya kikao kifupi cha kazi na maafisa wa Jeshi la Polisi mkoani humo, ambapo ametoa maelekezo mbalimbali ya kiutendaji yakilenga kuongeza ufanisi, nidhamu na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu ya kipolisi, hususan katika kuimarisha dhana ya Polisi Jamii.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

XI JINPING AKUTANA NA SHEIKH MOHAMMED BIN ZAYED KUIMARISHA USHIRIKIANO WA CHINA NA UAE

Beijing, China Rais wa China, Xi Jinping, amekutana na Mwenyekiti wa Abu Dhabi na Rais wa Falme za Kiarabu...

RAIS MWINYI AKAGUA MRADI WA MJI WA AFCON

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea na kukagua maendeleo ya...

TRUMP AFUTA PICHA YAKE AKIJIFANANISHA NA YESU AKIDAI IMETAFSIRIWA VIBAYA

Washington, Marekani Rais wa zamani wa Marekani, Donald J. Trump, ametoa ufafanuzi kufuatia picha aliyochapisha katika mtandao wake wa...

CHELSEA WAMTUPIA JICHO WILLIAM GOMES

London, Uingereza Klabu ya Chelsea imeendelea kuonyesha nia ya dhati ya kumsajili kiungo wa pembeni wa FC Porto, William...