HOSPITALI YA RUFAA YA MOUNT MERU YAZINDUA HUDUMA YA TIBA KEMIKALI KWA MATIBABU YA SARATANI

Date:

Share post:

Historia imeandikwa katika Hospitali ya Mt. Meru ambapo huduma ya Tiba Kemikali (Chemotherapy) imezinduliwa rasmi katika hospitali hiyo.

Uzinduzi huo umefanywa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacobo Julius Rombo, kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa, Dkt. Toba Alnason Nguvila, ambapo Hatua hii ni mafanikio makubwa katika kuboresha huduma za matibabu ya saratani, na kuifanya Hospitali ya Mt. Meru kuwa hospitali pekee ya rufaa nchini Tanzania kutoa huduma hiyo.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...