MAKONDA ATETA NA  MAAFISA MAENDELEO YA JAMII ARUSHA

Date:

Share post:

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda, amefanya kikao kazi na Maafisa Maendeleo wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa lengo la kujadili utekelezaji wa majukumu yao pamoja na changamoto wanazokabiliana nazo.

Katika kikao hicho kilichofanyika leo Aprili 10, 2026, viongozi hao walijadili kwa kina mikakati madhubuti ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha maendeleo katika jiji hilo.

Aidha, kikao hicho kiliweka mkazo mkubwa katika usimamizi na utolewaji wa mikopo ya asilimia kumi isiyo na riba. Mikopo hiyo inalenga kuwainua kiuchumi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, pamoja na kuchochea maendeleo endelevu ya jamii.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...