BODI ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), imemteua Rais wa Klabu ya Yanga SC Mhandisi Hersi Said kuwa balozi wa Kiswahili ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Mhandisi Hersi atakuwa miongozi mwa mabalozi watatu wa BAKITA ambao ni Salma Kikwete na Jorum Mkumbi” Consolata Mushi – Katibu Mkuu BAKITA Consolata Mushi.






