MKE WA TRUMP AKERWA NA SKENDO ZA EPSTEIN

Date:

Share post:

WASHINGTON DC, Marekani

MKE wa Rais Donald Trump, Melania Trump, amesema hajawahi kuwa na uhusiano na Jeffrey Epstein, hivyo hataki tena kusikia stori hizo.

Melania ameyasema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Ikulu.

Epstein aliyekwishafariki, alikuwa na tuhuma nyingi za udhalilishaji wa kingono, ikisemekana kuwa ndiye aliyewakutanisha Melania na Trump.

Hata hivyo, Melania amekanusha uvumi huo akiuita kuwa ni jitihada za kuharibu heshima na jina lake.

Licha ya kukiri kufahamiana na Epstein, Melania amesema: “Sikuwahi kufahamu chochote kuhusu Epstein kujihusisha na tabia hizo. Sihusiki.”

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...