TMA: MVUA KUBWA DAR NA MIKOA YA PWANI KUENDELEA HADI JUMAPILI

Date:

Share post:

MAMLAKA  ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa tahadhari ya mvua kubwa zinazotarajiwa kunyesha katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani kuanzia kesho hadi Jumapili.

Mikoa iliyotajwa kuathirika ni pamoja na Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara, Morogoro pamoja na Zanzibar.

Kwa mujibu wa utabiri wa siku tano uliotolewa Aprili 8,2026 ni kwamba baadhi ya maeneo katika mikoa hiyo yanatarajiwa kupata mvua kubwa zinazoweza kuleta athari za wastani.

TMA imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari, hususan wale wanaoishi maeneo hatarishi, ili kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na mvua hizo.

About The Author

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...