Msimu wa 13 BSS wazinduliwa Dar

Date:

Share post:

MASHINDANO ya kusaka vipaji yajulikanayo kama Bongo Star Search (BSS), msimu wa 13 yalizinduliwa rasmi usiku wa kuamkia leo jijini Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, muandaaji wa shindano hilo, Rita Paulsen, alisema kuwa msimu huu wa BSS utakuwa tofauti kidogo na miaka mingine.

“Mwaka huu mambo ni mengi na makubwa, msimu huu kuna mengi yamebadilika hasa katika upande wa majaji, tumejikita zaidi na wasanii,” amesema Rita.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...