MARAIS WA AFRIKA WALIVYOMUAGA HAYATI RAIS DK. MAGUFULI

Date:

Share post:

 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Zambia, Edgar Lungu akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma

 



Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa mume wake katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.


 

Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa mume wake katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, akitoa heshima za Mmwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...