Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Rais wa Zambia, Edgar Lungu akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa mume wake katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa mume wake katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, akitoa heshima za Mmwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma