10 MBARONI KWA TUHUMA ZA UTAPELI

Date:

Share post:

RIPOTA PANORAMA

JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro    linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za utapeli kwa kutumia mitandao ya simu.

Kati yao, saba wamekamatwa wakiwa na laini 110 zilizosajiliwa kwa majina ya watu tofauti katika maeneo ya Ifakara.

Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP Alex Mkama amethibitisha watuhumiwa hao kukamatwa Machi 3, 2026 kwa nyakati tofauti baada ya oparesheni maalum iliyofanyika katika Kitongoji cha Magoha, Kata ya Lumemo wilayani humo.

Kamanda huyo amesema upelelezi unaendelea ili kuwakamata washirika zaidi wa mtandao huo na kukomesha vitendo hivyo mkoani hapa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...