Tuesday, August 26, 2025
spot_img

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS MACRON WA UFARANSA

 

RAIS  Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris Ufaransa kwa ajili ya mazungumzo  na Rais wa nchi hiyo, Emmanuel Macron jana. (Picha kwa hisani ya Ikulu)


Rais  Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa  Emmanuel Macron  baada ya kuwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris Ufaransa. (Picha kwa hisani ya Ikulu).    

Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mwenyeji wake, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron  baada ya kuwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris Ufaransa jana. (Picha kwa hisani ya Ikulu) 


 Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na kuagana na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa  Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée, Paris  Ufaransa jana (Picha kwa hisani ya Ikulu)

 


 


Nyingine Zinazohusiana na Hii

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Tufuatilie

0FansLike
3,913FollowersFollow
0SubscribersSubscribe
- Advertisement -spot_img

Habari Nyingine Mpya