RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS MACRON WA UFARANSA

Date:

Share post:

 

RAIS  Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris Ufaransa kwa ajili ya mazungumzo  na Rais wa nchi hiyo, Emmanuel Macron jana. (Picha kwa hisani ya Ikulu)


Rais  Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa  Emmanuel Macron  baada ya kuwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris Ufaransa. (Picha kwa hisani ya Ikulu).    

Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mwenyeji wake, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron  baada ya kuwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris Ufaransa jana. (Picha kwa hisani ya Ikulu) 


 Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na kuagana na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa  Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée, Paris  Ufaransa jana (Picha kwa hisani ya Ikulu)

 


 


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...