Rais Samia Suluhu Hassan, akitembelea Kiwanda cha SC Johnson Family kinachotengeneza Viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti wadudu dhurifu waenezao magonjwa mbalimbali kilichopo katika mji wa Chicago, Marekani, Aprili 19, 2022. (Picha zote kwa hisani ya Ikulu).
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya SC Johnson Family, Dk. Fisk Johnson na ujumbe wake kabla ya kutembelea Kiwanda cha SC Johnson Family kinachotengeneza Viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti wadudu dhurifu waenezao magonjwa mbalimbali kilichopo katika mji wa Chicago, Marekani Aprili 19, 2022 (Picha zote kwa hisani ya Ikulu).
Rais Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu namna ya kudhibiti wadudu dhurifu waenezao magonjwa mbalimbali alipotembelea moja ya viwanda vya SC Johnson Family kilichopo katika mji wa Chicago, Marekani Aprili 19, 2022 (Picha zote kwa hisani ya Ikulu)
Rais Samia Suluhu Hassan, akiangalia baadhi ya wadudu wa aina mbalimbali waliodhibitiwa, alipotembelea moja ya viwanda vya SC Johnson Family kinachotengeneza Viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti wadudu dhurifu waenezao magonjwa mbalimbali kilichopo katika mji wa Chicago, Marekani Aprili 19, 2022.(Picha zote kwa hisani ya Ikulu)