RAIS DK. HUSSEIN MWINYI AIONGOZA ZANZIBAR KUUPOKEA MWILI WA JPM

Date:

Share post:

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi akiwa viongozi wengine wa serikali wakisubiri kuupokea mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume

Viongozi wa serikali wakisubiri kuupokea mwili wa Hayati Rais Dk.John Pombe Magufuli,  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) walioshikilia picha ya Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli wakishuka kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) baada ya ndege hiyo kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ukiwa na mwili wa Hayati Rais Dk, Magufuli

Gari maalumu la kijeshi lililobeba mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli likiondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kuelekea Uwanja wa Amani kwa ajili ya viongozi na wananchi kutoa heshima za mwisho.    
Umati wa wananchi wa Zanzibar uliojitokeza barabarani kumuaga Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati mwili wake ukipelekwa Uwanja wa Amani kwa ajili ya kuagwa

Viongozi wakisimama kutoa heshima wakati mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukiingizwa Uwanja wa Amani

Wananchi wa Zanzibar wamejipanga barabarani kumuaga Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli

Wananchi wa Zanzibar wamejipanga barabarani kuuaga mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli

Wananchi wa Zanzibar wakipungui mikono gari maalumuu la jeshi lililobeba mwili ya Hayati Rais Dk John Magufuli kama ishara ya kumuaga

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...