MATUKIO KATIKA PICHA RAIS MSTAAFU KIKWETE NA WAGOMBEA URAIS KENYA

Date:

Share post:

 

Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ambaye ni kiongozi wa jopo la uangalizi la Jumuiya ya Afrika ya Mashariki katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya, akiwa picha na wagombea urais wa William Ruto wa Umoja wa Vyama vya Kenya kwanza na Raila Odinga wa Umoja wa Vyama Azimio la Umoja, alipokutana nao kwa mazungumzo kwa nyakati tofauti  


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...