MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
HAMEES SUBA
ILIPOISHIA
NILIHOFIA kuwauliza wafanyakazi wenzangu waliokuwa wamefika ofisini kwa sababu sikutaka mtu yeyote ajue kinachoendelea kati yangu na Diamond. Nilitoka nje nikaenda kusimama kwenye...
RIPOTA PANORAMA
TIMU ya soka ya wanawake wa Simba, Sinba Queens jana ilifanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya...
RIPOTA PANORAMA
BODI ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT) imeendesha msako na kukamata mashine za michezo ya kubahatisha 300 ambazo zilikuwa zinatumika kuikosesha serikali kiasi...
RIPOTA PANORAMA
SERIKALI iko mbioni kuandaa tamasha kubwa la muziki na sanaa litakalofahamika kwa jina la moja ya vivutio vikubwa vya utalii vilivyopo hapa nchini.
Akizungumza...
MSANII wa muziki wa Bongoflava, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka sababu za kunenepa kwake kuwa ni biashara yake ya chakula anayoifanya inamfanya awe anakula mara...