Habari Kimataifa

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

MVUA ZILIZOKITHIRI ZAENDELEA KUWA JANGA NCHINI GHANA

Hali imeendelea kuwa mbaya nchini Ghana kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo. Mafuriko hayo yameathiri makazi...

ZIARA YA TRUMP INDIA KUIMARISHA UHUSIANO

‎Rais wa Marekani, Donald Trump, anatarajiwa kufanya ziara nchini India mapema mwaka ujao, huku Marekani na India zikiendelea kuimarisha uhusiano wao wa kimkakati.‎‎Waziri wa...

KIM KEON HEE: KUTOKA IKULU HADI GEREZANI

‎‎Aliyekuwa mke wa Rais wa zamani wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, amehukumiwa kifungo cha miaka saba gerezani baada ya kupatikana na hatia ya...

Felipe VI Awasili Mexico: Hatua Mpya Kidiplomasia

‎Mfalme Felipe VI wa Hispania afanya ziara yake ya kwanza Mexico tangu mgogoro wa kidiplomasia‎‎Mfalme Felipe VI wa Hispania amekutana na Rais wa Mexico,...

RUDN YAMTUNUKU RAIS SAMIA SHAHADA YA HESHIMA

Chuo Kikuu cha RUDN cha nchini Urusi, maarufu kama Patrice Lumumba kimemtunuku Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Uzamivu ya Heshima (Honoris Causa) kwa...

ISRAEL NA LEBANON ZAKUBALIANA KUSITISHA MAPIGANO

Israel na Lebanon zimekubaliana kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, imeeleza kuwa...
spot_img