Habari Kimataifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

POLISI TISA WAHUKUMIWA KUNYONGWA INDIA

NEW DELHI, India WATUMISHI tisa wa polisi nchini India wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika katika mauaji ya raia wawili. Mahakama...

PAKISTAN KUWA MSULUHISHI WA IRAN NA MAREKANI

ISLAMABAD, Pakistan WAZIRI Mkuu wa Pakistan, Muhammad Shehbaz Sharif, ametangaza kuwa nchi yake itakuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran. Sharif amesema...

RAIA 16 WA KENYA WALIOJIUNGA NA JESHI LA URUSI WAPOTEA

NAIROBI, Kenya RAIA 16 wa Kenya hawajulikani walipo baada ya kuingia Urusi na kujiunga na jeshi la nchi hiyo. Hiyo ni kwa mujibu wa Wizara...

HRW: WANAJESHI WA SERIKALI WANAUA RAIA BURKINA FASO

OUAGADOUGOU, Burkina Faso RIPOTI ya Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) imebaini kuwa wanajeshi wa Serikali ni wahusika wakuu wa mauaji...

TRUMP ‘AMTUMBUA’ MWANASHERIA MKUU

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametengua uteuzi wa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Pam Bondi. Ifahamike kuwa Bondi amekuwa mshirika mkubwa wa Rais...

MCHUNGAJI, BIBI HARUSI WATEKWA NYARA

Nigeria MCHUNGAJI na bibi harusi ni miongoni mwa watu takriban 20 waliotekwa nyara siku ya jumapili nchini Nigeria. Kwa mujibu wa mashirika ya habari ya nchini...
spot_img