MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
NEW DELHI, India
WATUMISHI tisa wa polisi nchini India wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika katika mauaji ya raia wawili.
Mahakama...
ISLAMABAD, Pakistan
WAZIRI Mkuu wa Pakistan, Muhammad Shehbaz Sharif, ametangaza kuwa nchi yake itakuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran.
Sharif amesema...
OUAGADOUGOU, Burkina Faso
RIPOTI ya Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) imebaini kuwa wanajeshi wa Serikali ni wahusika wakuu wa mauaji...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametengua uteuzi wa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Pam Bondi.
Ifahamike kuwa Bondi amekuwa mshirika mkubwa wa Rais...
Nigeria
MCHUNGAJI na bibi harusi ni miongoni mwa watu takriban 20 waliotekwa nyara siku ya jumapili nchini Nigeria.
Kwa mujibu wa mashirika ya habari ya nchini...