Habari Kimataifa

HAYA NDIYO USIYOYAJUA KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH (FEI TOTO)

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

URUSI YA SHAMBULIA MIJI YA UKRAINE

Takriban watu 10 wameuawa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Urusi dhidi ya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, usiku wa...

IRAN YA ZUIA WAKAGUZI WA IAEA KATIKA VITUO VYAKE VYA NYUKLIA

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema wakaguzi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) hawataruhusiwa kuingia katika vituo vya...

TRUMP: TULIFANYA KOSA KUKABIDHI MFEREJI WA PANAMA

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kusisitiza msimamo wake kuhusu Mfereji wa Panama, akisema uamuzi wa Marekani kuukabidhi mfereji huo kwa Panama ulikuwa "kosa...

SERA MPYA MAREKANI YAWAPELEKA WAHAMIAJI PALAU

Marekani imeanza kuwapeleka baadhi ya wahamiaji katika taifa la Palau, nchi ndogo ya visiwa iliyoko katika Bahari ya Pasifiki. Hatua hiyo ni sehemu ya sera...

MAANDAMANO YAZIDI KUPAMBA MOTO AFRIKA KUSINI

Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika maeneo mbalim bali nchini Afrika Kusini wakitaka serikali ichukue hatua kali dhidi ya wahamiaji wanaoishi nchini humo bila vibali...

NETANYAHU AKAZA MSIMAMO DHIDI YA HEZBOLLAH

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameliagiza Jeshi la Israel kuongeza mashambulizi na kuharibu miundombinu yote ya kundi la Hezbollah katika eneo la kusini...
spot_img