MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
ISLAMABAD, Pakistan
PAKISTAN ndiyo mwenyeji wa mazungumzo ya kutafuta suluhu katika mgogoro unaoendelea kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel.
Mazungumzo hayo yaliyotanguliwa na makubaliano...
MWAKILISHI wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola na Rais Mstaafu wa Malawi, Dk.Lazarus Chakwera, amekutana na kufanya mazungumzo na Tume ya Rais ya Kuchunguza...
HAVANA, Cuba
RAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, amesema hatojiuzulu kwa sababu ya shinikizo la Serikali ya Marekani.
Ikumbukwe kuwa kwa muda mrefu sasa, uhusiano wa Marekani...
WASHINGTON DC, Marekani
MKE wa Rais Donald Trump, Melania Trump, amesema hajawahi kuwa na uhusiano na Jeffrey Epstein, hivyo hataki tena kusikia stori hizo.
Melania ameyasema...