Habari Kimataifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

RAIS WA UAE AZUNGUMZA NA MFALME WA BAHRAIN KUHUSU USHIRIKIANO

Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan, amefanya mazungumzo na Mfalme wa Bahrain, Hamad bin Isa Al...

MAKAMU WA RAIS WA UAE AWASILI CHINA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

MAKAMU wa Rais na Mrithi wa Kiti cha Enzi cha Abu Dhabi, Sheikh Khalid bin Mohammed bin Zayed Al Nahyan, amewasili jijini Beijing nchini...

KINACHOENDELEA MKUTANO WA AMANI KATI YA MAREKANI, IRAN

ISLAMABAD, Pakistan PAKISTAN ndiyo mwenyeji wa mazungumzo ya kutafuta suluhu katika mgogoro unaoendelea kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel. Mazungumzo hayo yaliyotanguliwa na makubaliano...

TUME YA JAJI CHANDE YATETA NA DKT. CHAKWERA

MWAKILISHI wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola na Rais Mstaafu wa Malawi, Dk.Lazarus Chakwera, amekutana na kufanya mazungumzo na Tume ya Rais ya Kuchunguza...

RAIS WA CUBA AIVIMBIA MAREKANI, AGOMA KUJIUZULU

HAVANA, Cuba RAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, amesema hatojiuzulu kwa sababu ya shinikizo la Serikali ya Marekani. Ikumbukwe kuwa kwa muda mrefu sasa, uhusiano wa Marekani...

MKE WA TRUMP AKERWA NA SKENDO ZA EPSTEIN

WASHINGTON DC, Marekani MKE wa Rais Donald Trump, Melania Trump, amesema hajawahi kuwa na uhusiano na Jeffrey Epstein, hivyo hataki tena kusikia stori hizo. Melania ameyasema...
spot_img