RIPOTI MAALUM

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

NAIBU WAZIRI MNYETI AKUTWA HANA MAADILI NA MVUNJA KATIBA

RIPOTI MAALUMU (2) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ni mtovu wa maadili, anakiuka haki za binadamu na utawala bora na mvunja...

TUHUMA MIKOPO CHECHEFU ZACHAMBULIWA (1)

RIPOTA PANORAMA SAKATA la tuhuma za kuwepo mikopo chefuchefu linalohusisha baadhi ya wafanyabiashara wenye ukwasi mkubwa, kampuni zao, benki, mawakili na watumishi wa mahakama limezungumziwa...

MAJIBU YA TPA KWA BAJETI 2022/23 NA ILANI YA CCM 2020/2025

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ni Taasisi ya Serikali iliyokasimiwa wajibu wa kusimamia utendaji na uendeshaji wa shughuli za bandari za mwambao...

EL NINO YATEPETESHA SERENGETI, WATAALAMU TANAPA WAKUNA VICHWA WAKIELEKEA UNESCO

MVUA za El Nino zinazoendelea kunyesha nchini; na ambazo hazijapata kunyesha kwenye Hifahi ya Taifa ya Serengeti kwa takriban miaka 64, zimeitepetesha na kusababisha...

KAMPENI YA KUDAI MADENI WADAIWA SUGU WA KODI YA NYUMBA NHC INAENDELEA

KAMPENI ya kudai madeni wadaiwa sugu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), yenye mambo nane muhimu inaendelea nchi nzima. NHC lilizindua kampeni hiyo Agosti,...

RIPOTI MAALUMU (3)

JINSI SERIKALI ILIVYOPORWA MALI ZA UMMA SKANDALI ya kuporwa kwa mali za umma kisha kutumiwa kuchukua mkopo wa mabilioni ya fedha kwenye Benki ya NBC;...
spot_img