RIPOTI MAALUM

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

NAIBU WAZIRI MNYETI AKUTWA HANA MAADILI NA MVUNJA KATIBA

RIPOTI MAALUMU (2) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ni mtovu wa maadili, anakiuka haki za binadamu na utawala bora na mvunja...

TUHUMA MIKOPO CHECHEFU ZACHAMBULIWA (1)

RIPOTA PANORAMA SAKATA la tuhuma za kuwepo mikopo chefuchefu linalohusisha baadhi ya wafanyabiashara wenye ukwasi mkubwa, kampuni zao, benki, mawakili na watumishi wa mahakama limezungumziwa...

MAJIBU YA TPA KWA BAJETI 2022/23 NA ILANI YA CCM 2020/2025

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ni Taasisi ya Serikali iliyokasimiwa wajibu wa kusimamia utendaji na uendeshaji wa shughuli za bandari za mwambao...

EL NINO YATEPETESHA SERENGETI, WATAALAMU TANAPA WAKUNA VICHWA WAKIELEKEA UNESCO

MVUA za El Nino zinazoendelea kunyesha nchini; na ambazo hazijapata kunyesha kwenye Hifahi ya Taifa ya Serengeti kwa takriban miaka 64, zimeitepetesha na kusababisha...

KAMPENI YA KUDAI MADENI WADAIWA SUGU WA KODI YA NYUMBA NHC INAENDELEA

KAMPENI ya kudai madeni wadaiwa sugu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), yenye mambo nane muhimu inaendelea nchi nzima. NHC lilizindua kampeni hiyo Agosti,...

RIPOTI MAALUMU (3)

JINSI SERIKALI ILIVYOPORWA MALI ZA UMMA SKANDALI ya kuporwa kwa mali za umma kisha kutumiwa kuchukua mkopo wa mabilioni ya fedha kwenye Benki ya NBC;...
spot_img