Habari Kitaifa

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

WANAFUNZI MONDULI WAHIMIZWA NIDHAMU KUMUENZI SOKOINE

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha Gloriana Kimath amemtaja Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mkoani Arusha Hayati Edward...

KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI AFANYA ZIARA MKOANI RUKWA

Kamishna wa Polisi Jamii nchini (CP) Alex Mkama, Aprili 13, 2026 amewasili mkoani Rukwa kwa ziara ya kikazi ambapo amepokelewa na Kamanda wa Polisi...

SAME UTALII FESTIVAL YAVUTIA WAGENI HIFADHI YA MKOMAZI

Zaidi ya watalii wa ndani 90 wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali na kufurahia utalii wa ndani, kufuatia...

DC MKUDE ASISITIZA UMUHIMU WA USAFIRISHAJI KATIKA UTOAJI HUDUMA ZA UMEME

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Joseph Modest Mkude, amesema kuwa sekta ya usafirishaji na lojistiki ni nguzo muhimu katika kuhakikisha upatikanaji na utoaji...

MHE. SILLO AWASILI JIJINI INSTANBUL – UTURUKI KUSHIRIKI MKUTANO WA IPU

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo (Mb) amewasili Jijini Istanbul, nchini Uturuki kwa ajili ya kushiriki Mkutano...

MWENGE WA UHURU WA WASILI JIJINI DAR ES SALAAM.

Mwenge wa Uhuru umewasili Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Aprili 2026, ukitokea Mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo Mapokezi hayo yamefanyika katika Uwanja...
spot_img