HABARI

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

PANYA WATEKETEZA MASHAMBA KILOMBERO

RIPOTA PANORAMA PANYA wameteketeza alizeti na mahindi yaliyokuwa yanakaribia kuvunwa katika mashamba yenye jumla ya hekta 90.5 Kata ya Chita, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro. Akizungumza...

UKAME WAKWAMISHA UWEKAJI MIFUGO HERENI

RIPOTA PANORAMA UWEKAJI hereni za kieletroniki kwa mifugo kwenye wilaya za Mkoa wa Arusha halitafanikiwa kwa sababu ya ukame unaozikabili wilaya mbalimbali na kusababisha mifugo...

MADIWANI MPIMBWE WAHOJI UJENZI WA BARABARA

RIPOTA PANORAMA BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoa wa Katavi, limemtaka Meneja wa wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA),...

KENYA AIRWAYS LASHINDWA KULIPA DENI LA Sh1.9 TRILIONI

RIPOTA PANORAMA WAKATI Shirika la Ndege la Kenya likiendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji na kuongeza idadi ya ndege, taarifa kutoka Ofisi ya Hazina ya Taifa hilo...

151 WAFARIKI KATIKA SHEREHE KOREA KUSINI

SEOUL, KOREA KUSINI WATU 151wamefariki dunia katika mkanyagano uliotokea wakati wa sherehe za Halloween mjini Seoul, Korea Kusini. Vifo hivyo vimetokea Jumamosi Oktoba 29, 2022 usiku...

DRC YAMFUKUZA BALOZI WA RWANDA

CONGO, DRC JAMHURIi ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, Vincent Karega huku ikimpa saa 48 kuondoka nchini humo. Hatua hiyo inakuja...
spot_img