MUNICH, Ujerumani
JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga).
Eta mwenye umri wa miaka...
RIPOTA PANORAMA
PANYA wameteketeza alizeti na mahindi yaliyokuwa yanakaribia kuvunwa katika mashamba yenye jumla ya hekta 90.5 Kata ya Chita, Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro.
Akizungumza...
RIPOTA PANORAMA
UWEKAJI hereni za kieletroniki kwa mifugo kwenye wilaya za Mkoa wa Arusha halitafanikiwa kwa sababu ya ukame unaozikabili wilaya mbalimbali na kusababisha mifugo...
RIPOTA PANORAMA
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoa wa Katavi, limemtaka Meneja wa wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA),...
RIPOTA PANORAMA
WAKATI Shirika la Ndege la Kenya likiendelea kujiimarisha kwenye uwekezaji na kuongeza idadi ya ndege, taarifa kutoka Ofisi ya Hazina ya Taifa hilo...
SEOUL, KOREA KUSINI
WATU 151wamefariki dunia katika mkanyagano uliotokea wakati wa sherehe za Halloween mjini Seoul, Korea Kusini.
Vifo hivyo vimetokea Jumamosi Oktoba 29, 2022 usiku...
CONGO, DRC
JAMHURIi ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemfukuza balozi wa Rwanda nchini humo, Vincent Karega huku ikimpa saa 48 kuondoka nchini humo.
Hatua hiyo inakuja...