HABARI

USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA ALIYEANDIKA HISTORIA BUNDESLIGA

MUNICH, Ujerumani JINA la Marie-Louise Eta limeandika historia katika soka la Ujerumani baada ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa klabu ya Ligi Kuu (Bundesliga). Eta mwenye umri wa miaka...

BURNA BOY HATAKI MAZOEA, ‘BIFU’ KWAKE KAWAIDA TU

HIVI karibuni, supastaa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy, aliingia kwenye mikono ya Chama cha 'Ma-dj' nchini Nigeria,...

BURKINA FASO IKO HOI AU HAI CHINI YA KAPTENI TRAORE?

HATUA ya kutangaza kuwa raia wake waaitarajie demokrasia imeibua maswali mengi juu ya uongozi wa Kapteni Ibrahim Traore...

SIMU YAKO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO, SARATANI?

UKWELI ulio wazi ni kwamba matumizi ya simu za mkononi yameongezeka kwa kasi duniani, Tanzania ikiwa na 'laini'...

MOHAMED BIN SALMAN AKUTANA NA RAIS WA ULAYA KUZUNGUMZA KUHUSU KUIMARISHA USHIRIKIANO

Mkuu wa Taji wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, amekutana na Rais wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa,...
spot_img

CHINA, TANZANIA ZASAINI HATI 15

RIPOTA WA RAIS Rais Samia Suluhu Hassan jana alishuhudia utiaji saini wa mikataba na hati za makubaliano ya kimkakati 15 iliyolenga kuimarisha ushirikiano, biashara na...

BUNGE LAKOSHWA NA UTENDAJI WA RITA

RIPOTA PANORAMA KAMATI ya Bunge ya Katiba na Sheria imepokea na kuridhishwa na taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini...

DENDEGO: CHANGAMKIENI FURSA ZA UTALII

RIPOTA PANORAMA MKUU wa Mkoa wa Iringa, Halima Dendego amewataka wakazi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za utalii kufuatia Kongamano la Kimataifa la Utalii litakalofanyika...

SAMIA AONYA UDOKOZI MIRADI YA UMMA

RIPOTA PANORAMA RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania watakaopata fursa za ajira katika ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini hapa kuepuka...

RAIS SAMIA ATAJWA MAFANIKIO TANROADS

RIPOTA PANORAMA MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mhandisi Rogatus Mativila amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa na mchango mkubwa katika mafanikio ya utekelezaji...

MASHINE 300 ZA MICHEZO YA KUBAHATISHA ZATEKETEZWA

RIPOTA PANORAMA BODI ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT) imeendesha msako na kukamata mashine za michezo ya kubahatisha 300 ambazo zilikuwa zinatumika kuikosesha serikali kiasi...
spot_img