Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...
MILAN, ItaliaMSIMU uliopita haukuwa mzuri kwa Inter Milan baada ya kuambulia patupu katika mashindano yote matatu ya ndani. Safari hii, upepo umebadilika.
Inter wametwaa ubingwa...
LONDON, Uingereza
ARSENAL watakuwa Emirates kuwakaribisha Atletico Madrid, mchezo wa nusu fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Ulaya utakaochezwa leo Mei 5, 2026.
Kesho, Bayern...
LONDON, Uingereza
BALAA la majeraha lilianzia Februari, 2025, wakati Arsenal ilipokuwa Dubai. Kai Havertz alipata majeraha ya nyama za paja, akafanyiwa upasuaji uliomweka nje ya...
MANCHESTER, Uingereza
BAADA ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Liverpool jana Mei 3, 2026, Manchester United imefuzu kushiriki michuano ya Shirikisho la Soka la...
MANCHESTER, Uingereza
KIUNGO wa kimataifa wa Uholanzi, Tijjani Reijnders, huenda akaondoka Manchester City na kutimkia Ligi Kuu ya Italia (Serie A) mwishoni mwa msimu huu.
Reijnders...
MADRID, Hispania
KLABU ya Real Madrid haina mpango wa kumpiga bei mshambuliaji wake wa kati raia wa Brazil, Endrick, kwa mujibu wa mtandao wa TEAMtalk.
Baada...