RAIJNDERS WA CITY KUREJEA SERIAL A

Date:

Share post:

MANCHESTER, Uingereza

KIUNGO wa kimataifa wa Uholanzi, Tijjani Reijnders, huenda akaondoka Manchester City na kutimkia Ligi Kuu ya Italia (Serie A) mwishoni mwa msimu huu.

Reijnders (27), aliwahi kuwika Serie A akiwa na kikosi cha AC Milan, kabla ya Man City kumsajili mwaka jana kwa ada ya Pauni milioni 46.3.

Baada ya kupoteza nafasi ya kuanza katika kikosi cha kocha Pep Guardiola, nyota huyo anatafuta mlango wa kutokea Etihad.

Ripoti kutoka katika vyanzo vya habari vya Italia zinaeleza kuwa saini yake inawindwa na vigogo wa Serie A, Juventus.

Kwa upande wao, Man City wako tayari kukaa mezani na klabu yoyote itakayoweka mezani ofa ya kueleweka.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KISWAHILI KUIMARISHWA NCHINI KUELEKEA MICHUANO YA AFCON 2027

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Serikali imeweka mkazo katika kuimarisha matumizi ya Kiswahili...

‘KARIAKOO DERBY’ YAVUNJA REKODI YA MABAO

BAADA ya sare ya mabao 2-2 jana Mei 3, 2026, mechi inayozikutanisha Simba na Yanga, maarufu kwa jina...

MASTAA WA KIGENI WAENDELEA KUTAMBA ‘KARIAKOO DERBY’

DAKIKA 90 za 'Kariakoo Derby' zilitamatika jana Mei 3, 2026 katika Uwanja wa Jenerali Isamhuyo jijini Dar es...

PANYA, NGUCHIRO WANAVYOTESA RAIA WA PALESTINA UKANDA WA GAZA

JERUSALEM, Palestina NI katika kambi za raia wa Palestina wanaoishi kwenye mahema baada ya makazi yao kusambaratishwa na mashambulizi...