Michezo Kimataifa

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini dhidi ya Hull City na dakika za nyongeza za mchezo huo...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...
spot_img

MKONDO WA PILI ROBO FAINALI MABINGWA ULAYA, MBIVU NA MBICHI KUANZA KUJULIKANA LEO

LONDON, UingerezaMECHI mbili za marudiano za hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya zitachezwa usiku wa leo, kabla ya zingine (2) kuchezwa...

BEAUMELLE AKIRI UGUMU WA SUNDOWNS, AWAHIMIZA WACHEZAJI WAKE KUPAMBANA

Kocha mkuu wa klabu ya Espérance Sportive de Tunis, Patrice Beaumelle, amekiri kuwa kikosi chake kinakabiliwa na changamoto kubwa kuelekea mchezo wa marudiano wa...

JOHN TERRY AFUATA NYAYO ZA DAVID BECKHAM, ANUNUA KLABU YA COLCHESTER UNITED

LONDON, Uingereza BEKI na nahodha wa zamani wa klabu ya Chelsea, John Terry, ameinunua klabu ya Colchester United inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini England...

TOTTENHAM MAJANGA TUPU MSIMU HUU EPL, IKICHAPWA NA SUNDERLAND

BAADA ya kufungwa bao 1-0 na Sunderland, ni wazi Tottenham inaelekea kushuka Daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Kichapo hicho ni mwendelezo...

JE MIKEL ARTETA AMEKALIA KUTI KAVU ARSENAL?

LONDON, UingerezaIMEFICHUKA kuwa mabosi wa Arsenal wameanza kusaka mrithi wa kocha wa sasa, Mikel Arteta. Ripoti zinaeleza kuwa mabosi wa Arsenal hawatovumilia endapo timu yao...

CHERKI WA MAN CITY AWEKA REKODI

MANCHESTER, Uingereza ‘ASISTI’ zake katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea zimemfanya kiungo wa Manchester City, Rayan Cherki, kuweka rekodi mpya Ligi Kuu England...
spot_img