Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

DIOMANDE AFUNGUKA KUHUSU PSG HUKU LIVERPOOL WAKIMTAKA

‎Mchezaji wa RB Leipzig, Yan Diomandé, ameibua mjadala kuhusu hatma yake baada ya kueleza wazi mapenzi yake kwa Paris Saint-Germain wakati akihusishwa na uhamisho...

MAN CITY YATISHIA KUIBURUZA REAL MADRID MAHAKAMANI

‎Klabu ya Manchester City imetangaza kuwa inafikiria kuchukua hatua za kisheria baada ya kuibuka kwa taarifa nchini Hispania zinazodai kuwa mshambuliaji wake nyota, Erling...

REAL MADRID KUJA NA JEZI MPYA MSIMU UJAO WA LA LIGA

‎Klabu ya soka ya Real Madrid imezindua rasmi jezi yake ya nyumbani kwa msimu wa 2026/2027.‎‎Katika ujumbe wao wa utambulisho wa jezi hiyo, klabu...

ANDONI IRAOLA ARITHI MIKOBA YA SLOT LIVERPOOL

‎Klabu ya Liverpool F.C. inatarajiwa kumtangaza rasmi Andoni Iraola kuwa kocha wake mpya baada ya kufikia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili utakaodumu hadi...

NBA YAAMSHA KABLA YA FAINALI KATI YA KNICKS NA SPURS

‎Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) imeamsha kumbukumbu za mashabiki wake kuelekea mchezo wa kwanza wa Fainali za NBA kwa kuangazia baadhi...

MANCHESTER UNITED YAKAMILISHA USAJILI WA EDERSON

‎Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa Atalanta, Ederson, katika dirisha la usajili la majira ya joto.‎‎Kwa mujibu wa taarifa hizo,...
spot_img