LONDON, UingerezaZIPO taarifa kuwa kocha wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, aanawindwa na mabosi wa klabu ya Bournemouth ya Ligi Kuu ya England (EPL).
Bournemouth wanasaka kocha wa kuliongoza benchi...
ACCRA, Ghana
NYOTA wa kabumbu mwenye umri wa miaka 20 nchini Ghana ameuawa baada ya watu wasiojulikana kuvamia na kulishambulia kwa risasi basi la timu...
KAMPALA, Uganda
SHABIKI wa Arsenal raia wa Uganda, Eric Kyama, anajiandaa kuifungulia mashitaka klabu hiyo kwa kile alichodai imemsababishia changamoto za kisaikolojia, hasa huzuni na...
LONDON, Uingereza
SOKA ndiyo mchezo unaopendwa na kufutatiliwa zaidi duniani, hiyo ikisababisha wachezaji na makocha kuishi kifahari kutokana na fedha nyingi wanazovuna.
Katika makala haya, hawa...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Newcastle United, Alan Shearer, anaamini Manchester City itaibuka na ushindi katika mchezo wao dhidi ya Chelsea.
Timu hizo zitaumana kesho Aprili 12,...
MERSEYSIDE, Uingereza
BAADA ya beki wa kushoto Andy Robertson kuthibitisha kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu, klabu kadhaa barani Ulaya zimeanza kujipanga kuwania saini...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United inampigia hesabu kali kiungo wa Southampton, Shea Charles.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, ndiye aliyefunga bao la ushindi...