Michezo Kimataifa

FEISAL SALUM NA SIMULIZI YA KUHUZUNISHA: BABA YAKE HAJAWAHI KUMSHUHUDIA AKIWA UWANJANI

Feisal Salum Abdallah, maarufu kama Fei Toto, ni mmoja wa viungo bora wa soka nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 11 Januari 1998 visiwani Zanzibar na alianza safari yake ya soka...

BUGANDO WAFANYA UPASUAJI KUREKEBISHA SURA

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando (BMC), kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka Sweden na Afrika Kusini,...

KIGOMA YAFANYA UPIMAJI UTAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

Serikali, kupitia Wizara ya Afya, imeendesha zoezi la kupima utayari wa wataalamu wa afya na sekta mbalimbali katika...

UKRAINE YASHAMBULIA BANDARI NA MIUNDOMBINU URUSI

‎Vita kati ya Ukraine na Urusi vimechukua sura mpya baada ya Ukraine kutekeleza shambulizi kubwa la droni usiku...

MOTO MKUBWA MWANZA

Huzuni imetanda miongoni mwa wafanyabiashara wa Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, kufuatia ajali ya moto iliyozuka usiku wa...
spot_img

REAL MADRID YATAKA KUVUNJA REKODI KWA KUMSAJILI MICHAEL OLISE

Baada ya kumalizika kwa mashindano ya Kombe la Dunia, kiungo mshambuliaji wa Bayern Munich, Michael Olise, anatarajiwa kukutana na viongozi wa klabu hiyo kwa...

JALAL JAYED ANG’ARA KUSIMAMIA MECHI YA UJERUMANI NA PARAGUAY

Mwamuzi wa kimataifa kutoka Morocco, Jalal Jayed, ameendelea kuonyesha kiwango cha juu cha uamuzi baada ya kusimamia mchezo wa hatua ya 16 Bora wa...

ROMAIN FOLZ ATEULIWA KUWA KOCHA MPYA WA AL LTTIHAD ALEXANDRIA

Kocha raia wa Ufaransa, Romain Folz, ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Al Ittihad Alexandria, na kuwa kocha wa kwanza kutangazwa rasmi na...

INFANTINO AIBUA MABISHANO :AONEKANA KWENYE MECHI MBILI KWA WAKATI MMOJA

‎‎Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amekuwa gumzo mitandaoni baada ya picha zinazoonekana kumuonyesha akiwa kwenye mechi mbili tofauti kusambaa.‎‎Katika picha hizo, Infantino anaonekana kwenye...

CAPE VERDE YAZIDI KUANDIKA HISTORIA ZAKE KATIKA KOMBE LA DUNIA 2026

Cape Verde imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia baada ya kutoka sare dhidi ya Saudi Arabia katika mchezo wake wa mwisho...

NEWCASTLE YAKATAA OFA YA ARSENAL YA PAUNI MILIONI 55 KWA BRUNO GUIMAES

Arsenal imepata pigo katika harakati zake za kuimarisha kikosi baada ya Newcastle United kukataa ofa rasmi ya pauni milioni 55 kwa ajili ya kumsajili...
spot_img