Michezo Kimataifa

LAMPARD KUPEWA KIBARUA BOURNEMOUTH?

LONDON, UingerezaZIPO taarifa kuwa kocha wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, aanawindwa na mabosi wa klabu ya Bournemouth ya Ligi Kuu ya England (EPL). Bournemouth wanasaka kocha wa kuliongoza benchi...

PSG YAMWACHIA ‘MSALA’ KOCHA WA LIVERPOOL

MERSEYSIDE, UingerezaKICHAPO cha mabao 2-0 kutoka kwa PSG kimeongeza presha kwa kocha wa Liverpool, Arne Slot, ikielezwa kuwa...

YAMAL AVUNJA REKODI MBILI USIKU WA ULAYA

MADRID, Hispania LICHA ya Barcelona kung'olewa Ligi ya Mabingwa Ulaya, kinda wake wa safu ya ushambuliaji, Lamine Yamal, ameitumia...

MKUU WA WILAYA APOKEA TIMU YA WATAALAMU WA KODI KUTOKA TRA

Mkuu wa Wilaya amepokea ujio wa timu maalum ya wataalamu wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

WATUMISHI WAPYA WA OFISI YA TAIFA YA MASHTAKA WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Watumishi wapya wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na uzalendo ili kufanikisha...
spot_img

KINDA WA SOKA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

ACCRA, Ghana NYOTA wa kabumbu mwenye umri wa miaka 20 nchini Ghana ameuawa baada ya watu wasiojulikana kuvamia na kulishambulia kwa risasi basi la timu...

SHABIKI KUISHITAKI ARSENAL KWA KUMSABABISHIA ‘STRESS’

KAMPALA, Uganda SHABIKI wa Arsenal raia wa Uganda, Eric Kyama, anajiandaa kuifungulia mashitaka klabu hiyo kwa kile alichodai imemsababishia changamoto za kisaikolojia, hasa huzuni na...

HII HAPA ORODHA YA MAKOCHA WA SOKA MATAJIRI ZAIDI DUNIANI

LONDON, Uingereza SOKA ndiyo mchezo unaopendwa na kufutatiliwa zaidi duniani, hiyo ikisababisha wachezaji na makocha kuishi kifahari kutokana na fedha nyingi wanazovuna. Katika makala haya, hawa...

SHEARER AITABIRIA KIPIGO CHELSEA

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Newcastle United, Alan Shearer, anaamini Manchester City itaibuka na ushindi katika mchezo wao dhidi ya Chelsea. Timu hizo zitaumana kesho Aprili 12,...

ROBERTSON KUTIMKIA WAPI AKIONDOKA LIVERPOOL?

MERSEYSIDE, Uingereza BAADA ya beki wa kushoto Andy Robertson kuthibitisha kuwa ataondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu, klabu kadhaa barani Ulaya zimeanza kujipanga kuwania saini...

ALIYEITUNGUA ARSENAL AWINDWA MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United inampigia hesabu kali kiungo wa Southampton, Shea Charles. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, ndiye aliyefunga bao la ushindi...
spot_img