Saturday, 22 August 2026

Mkusanyiko wa habari

Michezo Kimataifa

KAMA NI KWELI, TOTTENHAM WANASUKA BOMU

Klabu ya Tottenham Hotspur ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa viungo wawili, Sandro Tonali na Mateus, katika dirisha hili la usajili. Kwa mujibu wa taarifa…

DRC CONGO HAWAPASWI KUTOA HATA TONE LA CHOZI

Matokeo ya kufungwa 2-1 na England yanaweza kuumiza, lakini kwa namna DRC Congo walivyocheza, hakuna sababu ya kujiona wameshindwa vibaya. Ukiangalia ubora wa kikosi cha England, tofauti ilikuwa…

KLOPP AFUNGUA MLANGO KUINOA UJERUMANI

Aliyekuwa kocha wa Liverpool, Jürgen Klopp, ameonyesha utayari wa kurejea benchi la ufundi ikiwa atapewa jukumu la kuinoa timu ya taifa ya Ujerumani. Ripoti zinaeleza kuwa, licha ya…

BELOUIZDAD YAMNASA KIUNGO WA TUNISIA, HOUSSEM TKA

Klabu ya Shabab Belouizdad ya Algeria imemtangaza rasmi kiungo wa kimataifa wa Tunisia, Houssem Tka, kuwa mchezaji wake mpya ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu wa 2026/2027.…

REAL MADRID YATAKA KUVUNJA REKODI KWA KUMSAJILI MICHAEL OLISE

Baada ya kumalizika kwa mashindano ya Kombe la Dunia, kiungo mshambuliaji wa Bayern Munich, Michael Olise, anatarajiwa kukutana na viongozi wa klabu hiyo kwa ajili ya kujadili mustakabali…

INFANTINO AIBUA MABISHANO :AONEKANA KWENYE MECHI MBILI KWA WAKATI MMOJA

‎‎Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amekuwa gumzo mitandaoni baada ya picha zinazoonekana kumuonyesha akiwa kwenye mechi mbili tofauti kusambaa.‎‎Katika picha hizo, Infantino anaonekana kwenye uwanja akifuatilia mchezo wa…