Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

ARTETA AANDIKA HISTORIA MPYA ARSENAL IKITINGA NUSU FAINALI

LONDON, UingerezaMIKEL Arteta ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza katika historia ya Arsenal kuiwezesha timu hiyo kutinga mara mbili mfululizo hatua ya nusu...

MASTAA HAWA KUKOSA KOMBE LA DUNIA 2026 KISA MAJERAHA

LONDON, UingerezaNI miezi takribani miwili tu imebaki, kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Kuelekea...

RAFIKI AMCHIMBIA MKWARA LIONEL MESSI

MIAMI, MarekaniKOCHA mpya wa Inter Miami, Guillermo Hoyos, amesema urafiki wake na Lionel Messi haumaanishi kuwa atamlegezea mazoezini. Hoyos mwenye umri wa miaka 62, amekabidhiwa...

HUKU USIJE! NI SHOO YA WAKUBWA TU NUSU FAINALI MABINGWA ULAYA

LONDON, UingerezaMSIMU huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya umeingia hatua ngumu ya nusu fainali, zikiwa zimebaki timu nne zinazowania nafasi mbili za kucheza fainali. Atletico...

WAKALI WA ‘ASISTI’ LIGI YA MABINGWA ULAYA 2025-26

LONDON, Uingereza KUFIKIA hatua hii, ambapo Bayern Munich, Arsenal, Atletico Madrid na PSG ndizo zilizoingia nusu fainali, kuna vita ya pasi za mabao (asisti) inayoendelea. Staa...

MBAPPE, KANE MOTO UNAWAKA KIATU CHA UFUNGAJI BORA ULAYA 2025-26

LONDON, Uingereza LICHA ya Real Madrid kusukumwa nje ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mshambuliaji wake raia wa Ufaransa, Kylia Mbappe, ndiye anayeongozwa kwa kupachika mabao...
spot_img