Michezo Kimataifa

MIAKA SITA YA MAPENZI, DAKIKA CHACHE ZA VIPIMO NA UAMUZI MGUMU ULIOFUTA NDOTO YA HARUSI

Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...

SANDRO TONALI ATIMKIA TOTTENHAM KWA UHAMISHO WA KUDUMU

Klabu ya Newcastle United imetangaza rasmi kuondoka kwa kiungo wa Italia, Sandro Tonali, ambaye amejiunga na Tottenham Hotspur...

LEO BAPTISTAO AONGEZA MKATABA WAKE UD ALMERÍA

Klabu ya UD Almería imethibitisha kuwa mshambuliaji wa Brazil, Leo Baptistao, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kuongeza...

SEBASTIÁN ARÉ AJIUNGA NA SANFRECCE HIROSHIMA KWA MKATABA WA KUDUMU

Klabu ya Sanfrecce Hiroshima ya Ligi Kuu ya Japan (J1 League) imetangaza rasmi usajili wa mshambuliaji Sebastián Aré...

ATLÉTICO MADRID YAMKARIBISHA DILI LA KING-IN LEE KWA EURO MILIONI 40

Klabu ya Atlético Madrid imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Kang-in Lee kutoka Paris Saint-Germain (PSG) katika dirisha...
spot_img

KLOPP, POCHETTINO NANI KUPEWA KAZI MADRID?

LONDON, UingerezaMABOSI wa Real Madrid wanatembea na majina ya makocha wawili, Jurgen Klopp na Mauricio Pochettino, na huenda mmoja wao akaajiriwa kuinoa timu hiyo. Madrid...

MAN CITY, ARSENAL NI JASHO, DAMU WIKIENDI HII

LONDON, UingerezaARSENAL wako kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) lakini ni pointi sita pekee zinazoitenganisha na Manchester City inayoshika nafasi ya...

SENESI SASA AINGIA RADA ZA LIVERPOOL

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool imeanza rasmi mbio za kunasa saini ya beki wa Bournemouth, Marcos Senesi. Taarifa za Senesi kuondoka Bournemouth zimeongezeka tangu kocha Andoni...

MOURINHO KOCHA MPYA NEWCASTLE MSIMU UJAO?

LONDON, UingerezaUONGOZI wa Newcastle United unaangalia uwezekano wa kumrejesha Ligi Kuu ya England kocha wa zamani wa klabu za Chelsea na Manchester United, Jose...

ARSENAL YAWAWEKA SOKONI JESUS, HAVERTZ

LONDON, UingerezaKATIKA kukusanya mkwanja wa kufanikisha usajili wa staa wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, Arsenal imepanga kuwauza Gabriel Jesus na Kai Havertz. Arsenal wanatambua mtihani...

KANE AWEKA REKODI AKIIPELEKA BAYERN NUSU FAINALI ULAYA

MUNICH, UjerumaniSTRAIKA wa Bayern Munich, Harry Kane, amekuwa mchezaji wa kwanza raia wa England kufikisha mabao 12 katika msimu mmoja wa michuano ya Ligi...
spot_img