Kisa kinachosambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuhusu wapenzi waliodumu kwenye uhusiano kwa miaka sita lakini wakaamua kuachana baada ya kugundua wote wana genotype AS kimezua mjadala mpana...
LONDON, Uingereza
KLABU za Arsenal na Chelsea zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya staa wa Ajax ya Uholanzi, Mika Godts.
Godts, ambaye amepachikwa jina la...
LONDON, Uingereza
HUENDA kocha raia wa Italia, Antonio Conte, akarejea kuliongoza benchi la ufundi la Chelsea lililoachwa wazi na Liam Rosenior.
Conte anainoa Napoli kwa sasa...
MADRID, Hispania
KLABU ya Atletico Madrid iko kwenye harakati za kumsajili beki wa kulia wa Liverpool na timu ya taifa ya Scotland, Andy Robertson.
Atletico walijaribu...
MUNICH, Ujerumani
BAYERN Munich wamethibitisha kuwa hawatomsajili moja kwa moja mshambuliaji wanayemtumia kwa mkopo kutoka Chelsea, Nicolas Jackson.
Jackson alisajiliwa kwa mkopo mwaka jana na mkataba...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Arsenal, Ian Wright, amemtaja Declan Rice kuwa anastahili kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Ballon d’Or msimu huu.
Wright amesema...
MILAN, Italia
MANCHESTER United na Liverpool zimeingia kwenye ushindani mkali wa kuiwania saini ya winga wa AC Milan, Rafael Leao.
Wakati huo huo, Manchester City na...