ATLETICO YAMFUNGIA KAZI BEKI WA LIVERPOOL

Date:

Share post:

MADRID, Hispania

KLABU ya Atletico Madrid iko kwenye harakati za kumsajili beki wa kulia wa Liverpool na timu ya taifa ya Scotland, Andy Robertson.

Atletico walijaribu bila mafanikio kumchukua Robertson wakati wa dirisha kubwa la usajili wa kiangazi, 2025.

Hata hivyo, kocha wa Atletico, Diego Simeone, amewaambia mabosi wa klabu hiyo kuwa bado anamuhitaji nyota huyo mwenye umri wa miaka 32.

Robertson ameshathibitisha kuwa huu ni msimu wake wa mwisho Anfield baada ya miaka tisa ya utumishi wake.

Uamuzi huo wa kuondoka umetokana na kupoteza nafasi ya kuingia kikosi cha kwanza chini ya kocha Arne Slot.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

MEGAN AACHANA NA MPENZI WAKE KISA ‘KUCHEPUKA’

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina kubwa katika soko la muziki wa Hip hop nchini Marekani, Megan thee stallion,...

SERIKALI YAWEKA WAZI MKAKATI WA KUIFANYA SEKTA YA MADINI KUWA MHIMILI WA UCHUMI

Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma leo Aprili 27, 2026,...

KINDA AJAX AZIGONGANISHA ARSENAL, CHELSEA

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya staa wa Ajax ya Uholanzi,...

MABORESHO YA UWANJA WA BENJAMINI MKAPA YAANZA RASMI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson...