ANTONIO CONTE ATAJWA KURUDI CHELSEA

Date:

Share post:

LONDON, Uingereza

HUENDA kocha raia wa Italia, Antonio Conte, akarejea kuliongoza benchi la ufundi la Chelsea lililoachwa wazi na Liam Rosenior.

Conte anainoa Napoli kwa sasa lakini zipo taarifa kuwa ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu.

Mkataba wake na vigogo hao wa Serie A utafikia ukomo mwishoni mwa msimu ujao (2027-28).

Alikuwa na mafanikio makubwa msimu uliopita, ambapo aliipa Napoli taji la Ligi Kuu hiyo ya Italia.

Kwa siku za hivi karibuni, Conte amekuwa akihusishwa na kibarua cha kuinoa timu ya taifa ya Italia.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

MEGAN AACHANA NA MPENZI WAKE KISA ‘KUCHEPUKA’

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina kubwa katika soko la muziki wa Hip hop nchini Marekani, Megan thee stallion,...

SERIKALI YAWEKA WAZI MKAKATI WA KUIFANYA SEKTA YA MADINI KUWA MHIMILI WA UCHUMI

Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Madini kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma leo Aprili 27, 2026,...

KINDA AJAX AZIGONGANISHA ARSENAL, CHELSEA

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Chelsea zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya staa wa Ajax ya Uholanzi,...

MABORESHO YA UWANJA WA BENJAMINI MKAPA YAANZA RASMI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson...