Tag: EPL

spot_imgspot_img

Arsenal waichapa PSV michuano ya Europa

bao pekee lililowekwa kimiani na Granit Xhaka katikati ya kipindi cha pili, limeiwezesha Arsenal kuendelea na moto wake wa kufanya vizuri katika michuano mbalimbali...

Je, Arsenal wanaelekea kufanya maajabu kama ya Leicester City msimu huu?

Bado ni mapema sana kwani ligi yenyewe ndio kwanza iko katika mzunguko wa 10, lakini kile kinachoendelea katika ligi hiyo hivi sasa, hususan kileleni...

Wilfried Zaha amkosha Patrick Viera wakiipiga Wolves

Nahodha wa zamani wa Arsenal, ambaye hivi sasa ni meneja wa klabu ya soka ya Cristal palace, Patrick Viera, ameelezea kufurahishwa kwake na mchango...